Na Mwandishi Maalumu, Dodoma SERIKALI imewaagiza Maafisa Masuuli wote wa taasisi zilizo chini ya Ofisi ya Msajili wa Hazina kuhakikisha kuwa, mpango wa bajeti kwa mwaka 2021/22 unaandaliwa na kuwasilishwa kupitia mfumo mpya wa uandaaji wa bajeti (PlanRep). Akizungumza katika…
