• Jumatatu – Ijumaa Saa 1:30Asb – 9:30Alasiri

  • WALIOTEMBELEA

  • Ubinafsishaji na Ufuatiliaji

    IDARA YA UBINAFSISHAJI NA UFUATILIAJI

    MAJUKUMU

    1. Kufuatilia na kuhakikisha gawio kutoka Mashirika ya Umma na Taasisi ambazo Serikali ina hisa chache;
    2. Kusimamia na kutathmini utendaji kazi wa mashirika, taasisi za umma na Mashirika yaliyobinafsishwa;
    3. Kuhifadhi taarifa na kumbukumbu (database) za mashirika yaliyorekebishwa na kubinafsishwa;
    4. Kushughulikia madai na malalamiko ya waliokuwa wafanyakazi wa mashirika ya umma yaliyorekebishwa na kubinafsishwa;
    5. Kusimamia ubinafsishaji na urekebishaji wa mashirika ya umma kwa kushirikiana na Wizara mama;
    6. Kufuatilia na Kusimamia Mitaji (capital Grants and Capital Funds), Ruzuku, au retained earnings katika Mashirika yaliyorekebishwa na kubinafsishwa hususani pale ambapo Serikali ina Hisa.