MAJUKUMU NA UTENDAJI WA KITENGO
Kipengele Na. 28 cha Kanuni za Fedha za Umma (2004) na Mwongozo wa Ukaguzi wa Ndani kipengele cha 2.3 wa Mwaka 2013 inamtaka Afisa Masuuli kuanzisha Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani. Madhumuni ya kitengo hiki ni kutoa ushauri kwa Afisa Masuuli juu ya utumiaji mzuri wa rasilimali. Majukumu hayo ni kama ifuatavyo:-