Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

OFISI YA MSAJILI WA HAZINA

DIRA

Kuwa kichocheo cha mageuzi ya kiuchumi kupitia uwekezaji wa Serikali.

DHIMA

Kusimamia kwa ufanisi na kuongeza tija ya uwekezaji wa Serikali ili kuimarisha maendeleo ya kijamii na kiuchumi kwa watanzania wote.