• Jumatatu – Ijumaa Saa 1:30Asb – 9:30Alasiri

  • WALIOTEMBELEA

  • Archives for Uncategorized

    Mchechu ajipa miaka 2 mabadiliko makubwa mashirika ya umma

    KUMEKUCHA! Msajili wa Hazina, Nehemiah Mchechu amesema ndani ya mwaka mmoja au miwili ijayo, mashirika ya umma yatafanyiwa mabadiliko makubwa yakiwemo ya kuhakikisha yanajiendesha kibiashara. Pia, ameeleza kuwa yuko katika hatua za mwisho za kutekeleza agizo la Rais Samia Suluhu…

    Read more

    Serikali yapokea gawio la 6.1/- Puma Energy

    Na Mwandishi Wetu, UWEKEZAJI wa Serikali katika kampuni mbalimbali, umeiwezesha kupata gawio la Shilingi Bilioni 6.1 kutoka kampuni ya Puma Energy Tanzania Limited. Gawio hilo la Serikali yenye umiliki wa asilimia 50 katika Puma Energy, limepokelewa na Msajili wa Hazina,…

    Read more