
Serikali yaingiza sokoni mali za viwanda sita
Na Mwandishi Maalumu SERIKALI kupitia Ofisi ya Msajili wa Hazina, imetangaza kuuza kwa njia ya zabuni mali za viwanda sita vinavyomilikiwa na Serikali. Hatua hiyo imekuja baada ya waliokuwa wawekezaji katika viwanda hivyokukiuka masharti ya uwekezaji, hivyo kurejeshwa...
Read more