• Jumatatu – Ijumaa Saa 1:30Asb – 9:30Alasiri

  • WALIOTEMBELEA

  • Archives for Matukio

    Serikali yazindua mfumo wa bajeti kielektroniki

    Na Mwandishi Maalumu, Dodoma SERIKALI imewaagiza Maafisa Masuuli wote wa taasisi zilizo chini ya Ofisi ya Msajili wa Hazina kuhakikisha kuwa, mpango wa bajeti kwa mwaka 2021/22 unaandaliwa na kuwasilishwa kupitia mfumo mpya wa uandaaji wa bajeti (PlanRep). Akizungumza katika…

    Read more

    Msajili Hazina aitaka Posta kujiimarisha kiteknolojia

    Na Mwandishi Maalumu, Dodoma UONGOZI wa Shirika la Posta Tanzania umetakiwa kutilia mkazo matumizi ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) ili liweze kuendana na matakwa ya dunia ya sasa, hasa katika utoaji wa huduma. Aidha, shirika limetakiwa kuchangamkia fursa…

    Read more