Na Mwandishi Maalumu, Arusha WAZIRI wa Fedha na Mipango, Dk Mwigulu Nchemba amemuelekeza Msajili wa Hazina kufanya tathmini ya utendaji na ufanisi wa Taasisi na Mashirika ya Umma ili aje na ushauri mzuri kwa Serikali ikiwemo kupendekeza kufutwa na…
Na Mwandishi Maalumu, Arusha WAZIRI wa Fedha na Mipango, Dk Mwigulu Nchemba amemuelekeza Msajili wa Hazina kufanya tathmini ya utendaji na ufanisi wa Taasisi na Mashirika ya Umma ili aje na ushauri mzuri kwa Serikali ikiwemo kupendekeza kufutwa na…
Msajili wa Hazina, Athumani Mbuttuka akibadilishana nyaraka na Makamu wa Rais wa Kampuni ya LZ NICKEL LIMITED, Chris Von Christierson baada ya kutiliana saini makubaliano ya ushirikiano katika uchimbaji wa madini ya Nickel huko Kabanga katika Wilaya ya Ngara mkoani…
Na Mwandishi Wetu, Morogoro KATIBU Mkuu Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Dk Laurean Ndumbaro amesema kuanzishwa kwa mfumo wa kuhifadhi taarifa za wajumbe wa bodi za taasisi na mashirika ya umma, kutasaidia kuondoa changamoto…
Na Mwandishi Maalumu, Dodoma SERIKALI imewaagiza Maafisa Masuuli wote wa taasisi zilizo chini ya Ofisi ya Msajili wa Hazina kuhakikisha kuwa, mpango wa bajeti kwa mwaka 2021/22 unaandaliwa na kuwasilishwa kupitia mfumo mpya wa uandaaji wa bajeti (PlanRep). Akizungumza katika…
Na Mwandishi Maalumu, Dodoma UONGOZI wa Shirika la Posta Tanzania umetakiwa kutilia mkazo matumizi ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) ili liweze kuendana na matakwa ya dunia ya sasa, hasa katika utoaji wa huduma. Aidha, shirika limetakiwa kuchangamkia fursa…