Msajili wa Hazina, Mgonya Benedicto akabidhiwa rasmi Ofisi na aliyekuwa Msajili wa Hazina, Athumani Mbuttuka. Makabidhiano hayo yamefanyika katika Ofisi ya Msajili wa Hazina, Dar es Salaam. Benedicto ameteuliwa na Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan kuwa Msajili wa Hazina kuchukua…
NAIBU Waziri wa Fedha na Mipango, Mhandisi Hamad Yussuf Masauni ameiagiza Ofisi ya Msajili wa Hazina kushirikiana na Idara ya Ubia baina ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi ya Wizara ya Fedha na Mipango na pia Kituo cha Uwekezaji (TIC),…
Na Mwandishi Maalumu, Arusha SERIKALI kupitia Ofisi ya Msajili wa Hazina inafanyia kazi dhamira ya kufanya mapitio na uchambuzi wa kina wa mashirika ya umma ili kutekeleza agizo la Rais Samia Suluhu Hassan ya kuyafanya yajiendeshe kwa faida. Kutokana na…
“Wakulima wa Miwa wa Kilombero watakuwa wanufaika wakuu kwani ongezeko kubwa la usambazaji wa miwa utahitajika kuendesha kiwanda baada ya upanuzi” Kampuni ya Kiwanda cha Sukari cha Kilombero ambayo inamilikiwa na Kampuni ya Illovo Sugar Africa kwa Asilimia 75 na…