Serikali yavuna bil 143/- gawio Airtel “Ni matunda ya mazingira bora ya uwekezaji nchini” “Dk Mpango: Taasisi zenye ubia na serikali zijitathmini”
Na Mwandishi Wetu, Dodoma WAKATI Kampuni ya Mawasiliano ya simu ya Airtel Tanzania Plc ikiikabidhi Serikali Sh bilioni 143 kama gawio, mchango wa uwezeshaji na mauzo ya minara, Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango amezitaka taasisi binafsi ambazo Serikali...
Read moreMwaka Mmoja wa Mama Samia; Serikali Yaongeza umiliki wa hisa kwenye madini “Wastaafu mashirika EAC vicheko katika pensheni
Na Mwandishi Wetu SERIKALI imefanikiwa kuongeza umiliki wa hisa katika Kampuni ya Madini ya Almasi ya Williamson kutoka asilimia 25 hadi asilimia 37. Aidha, kufikia Machi mwaka huu, Serikali imesaini mikataba ya ubia na kumiliki asilimia 16 ya...
Read moreMwaka Mmoja wa Mama Samia, Serikali yavuna bil. 540/- kutoka Taasisi, Mashirika ya mma
Na Mwandishi Maalumu, Dodoma OFISI ya Msajili wa Hazina imefanikiwa kukusanya kiasi cha Sh bilioni 539.39 kutokana na mapato yasiyo ya kodi kati ya Machi 2021 na Februari 2022, ikiwa ni ongezeko la asilimia 105 kutoka kiasi cha Sh...
Read moreWatumishi Msajili wa Hazina (OTR)Waboresha Afya kwa Michezo
Na Mwandishi Maalumu, KATIKA kuhakikisha watumishi wake wanakuwa na afya bora na kuboresha mahusiano mahali pa kazi, Ofisi ya Msajili wa Hazina jana ilifanya Bonanza kubwa kwa ajili ya watumishi wake lililofanyika Viwanja vya Taasisi ya Teknolojia Dar es...
Read moreSerikali yaahidi mazingira bora zaidi Shirika la Posta
SERIKALI kupitia Ofisi ya Msajili wa Hazina imeahidi kuendelea kuweka mazingira wezeshi kwa Shirika la Posta nchini lengo ikiwa ni kuongeza uzalishaji na kutekeleza majukumu yake liweze kuendana na lengo la uanzishwaji wake kwa mujibu wa Sheria iliyounda Shirika hilo....
Read more