Ofisi ya Msajili wa Hazina yaanika mafanikio makubwa
Na Mwandishi Maalumu, Dodoma OFISI ya Msajili wa Hazina (OMH) imesema kumekuwa na mafanikio makubwa katika usimamizi na uendelezaji wa uwekezaji uliofanywa na Serikali katika mashirika ya umma 287, ambao thamani yake ya uwekezaji imepaa na kufikia Shilingi trilioni...
Read moreWafanyakazi Ofisi ya Msajili wa Hazina wajengewa uwezo katika kusimamia masuala ya Ubinafsishaji
Ofisi ya Msajili wa Hazina inawajengea uwezo watumishi wake katika masuala yanayohusiana na Ubinafsishaji katika mafunzo ya wiki mbili yanayoendelea katika Chuo cha Uhasibu Arusha, Jijini Arusha. Katika mafunzo hayo watumishi wa Ofisi hiyo watapata elimu, maarifa, ujuzi na uzoefu...
Read moreSerikali yakabidhi msitu kwa wakulima wa chai Njombe
Na Mwandishi Maalumu SERIKALI kupitia Ofisi ya Msajili wa Hazina imekabidhi rasmi msitu wa Iyembela uliopo mkoani Njombe kwa Wakala wa Wakulima Wadogo wa Chai (TSHTIDA) baada ya kumaliza mgogoro uliokuwa umeikumba msitu huo kwa muda mrefu na kuvuruga maslahi...
Read moreOfisi ya Msajili Hazina yavuka lengo makusanyo ya mapato
Na Mwandishi Maalumu OFISI ya Msajili wa Hazina (OMH) imefanikiwa kukusanya mapato yasiyo ya kodi ya jumla ya Sh bilioni 852.98 ikiwa ni asilimia 109.50 ya lengo katika Mwaka wa Fedha wa 2021/22 ulioishia Juni 30, mwaka huu. Awali,...
Read moreWakuu wa taasisi, mashirika ya umma waagizwa kutekeleza mapendekezo ya wakaguzi kwa wakati
Na Mwandishi Maalumu, Arusha MSAJILI wa Hazina, Mgonya Benedicto amewataka watendaji wakuu wa taasisi, mashirika ya umma na wakala za Serikali kutekeleza kwa wakati mapendekezo yanayotolewa na Wakaguzi wa Ndani ili kudhibiti na kuondoa athari za vihatarishi katika taasisi...
Read more