WATUMISHI katika Ofisi ya Msajili wa Hazina (OMH) wamehimizwa kutekeleza majukumu yao kwa weledi ili kuhakikisha kila mmoja anatoa mchango wake katika kuleta tija kwa Ofisi na Taifa kwa ujumla. Hayo yamesemwa na Kaimu Msajili wa Hazina, Lightness Mauki ambaye…
Watumishi Ofisi ya Msajili wa Hazina wahimizwa weledi kazini.
Read more