NAIBU Waziri wa Fedha na Mipango, Mhandisi Hamad Yussuf Masauni ameiagiza Ofisi ya Msajili wa Hazina kushirikiana na Idara ya Ubia baina ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi ya Wizara ya Fedha na Mipango na pia Kituo cha Uwekezaji (TIC),…
NAIBU Waziri wa Fedha na Mipango, Mhandisi Hamad Yussuf Masauni ameiagiza Ofisi ya Msajili wa Hazina kushirikiana na Idara ya Ubia baina ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi ya Wizara ya Fedha na Mipango na pia Kituo cha Uwekezaji (TIC),…
Na Mwandishi Maalumu, Arusha SERIKALI kupitia Ofisi ya Msajili wa Hazina inafanyia kazi dhamira ya kufanya mapitio na uchambuzi wa kina wa mashirika ya umma ili kutekeleza agizo la Rais Samia Suluhu Hassan ya kuyafanya yajiendeshe kwa faida. Kutokana na…
“Wakulima wa Miwa wa Kilombero watakuwa wanufaika wakuu kwani ongezeko kubwa la usambazaji wa miwa utahitajika kuendesha kiwanda baada ya upanuzi” Kampuni ya Kiwanda cha Sukari cha Kilombero ambayo inamilikiwa na Kampuni ya Illovo Sugar Africa kwa Asilimia 75 na…
Na Mwandishi Maalumu, Arusha WAZIRI wa Fedha na Mipango, Dk Mwigulu Nchemba amemuelekeza Msajili wa Hazina kufanya tathmini ya utendaji na ufanisi wa Taasisi na Mashirika ya Umma ili aje na ushauri mzuri kwa Serikali ikiwemo kupendekeza kufutwa na…
Msajili wa Hazina, Athumani Mbuttuka akibadilishana nyaraka na Makamu wa Rais wa Kampuni ya LZ NICKEL LIMITED, Chris Von Christierson baada ya kutiliana saini makubaliano ya ushirikiano katika uchimbaji wa madini ya Nickel huko Kabanga katika Wilaya ya Ngara mkoani…