• Jumatatu – Ijumaa Saa 1:30Asb – 9:30Alasiri

  • WALIOTEMBELEA

  • Archives for Habari na Matukio

    Mchechu aguswa gawio la shilingi bilioni kutoka NBC

    Na Mwandishi Maalumu SERIKALI kupitia Ofisi ya Msajili ya Hazina, imeipongeza Benki ya NBC kwa mafanikio makubwa ya kibiashara katika mwaka 2022 ambayo yameifanya itoe gawio la Sh bilioni 6 kwa Serikali. Msajili wa Hazina, Nehemiah Mchechu aliyasema hayo leo...
    Read more

    Serikali yaingiza sokoni mali za viwanda sita

    Na Mwandishi Maalumu   SERIKALI kupitia Ofisi ya Msajili wa Hazina, imetangaza kuuza kwa njia ya zabuni mali za viwanda sita vinavyomilikiwa na Serikali.   Hatua hiyo imekuja baada ya waliokuwa wawekezaji katika viwanda hivyokukiuka masharti ya uwekezaji, hivyo kurejeshwa...
    Read more

    PREQUALIFICATION ANNOUNCEMENT

      SERIKALI kupitia Ofisi ya Msajili wa Hazina, imetangaza kuuza kwa njia ya zabuni mali za viwanda sita vinavyomilikiwa na Serikali. Hii ikiwa ni jitihada za Serikali katika kuimarisha ushiriki wa sekta binafsi katika uendelezaji wa viwanda nchini. Kwa mujibu…

    Read more

    TANGAZO LA MNADA

    JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA MSAJILI WA HAZINA   TANGAZO LA MNADA       03/01/2023 Wananchi wote mnatangaziwa kwamba, Ofisi ya Msajili wa Hazina itauza kwa njia ya Mnada wa Hadhara vifaa mbalimbali chakavu katika ofisi za...
    Read more

    Ofisi ya Msajili wa Hazina yaanika mafanikio makubwa

    Na Mwandishi Maalumu, Dodoma   OFISI ya Msajili wa Hazina (OMH) imesema kumekuwa na mafanikio makubwa katika usimamizi na uendelezaji wa uwekezaji uliofanywa na Serikali katika mashirika ya umma 287, ambao thamani yake ya uwekezaji imepaa na kufikia Shilingi trilioni...
    Read more