
Wakuu wa taasisi, mashirika ya umma waagizwa kutekeleza mapendekezo ya wakaguzi kwa wakati
Na Mwandishi Maalumu, Arusha MSAJILI wa Hazina, Mgonya Benedicto amewataka watendaji wakuu wa taasisi, mashirika ya umma na wakala za Serikali kutekeleza kwa wakati mapendekezo yanayotolewa na Wakaguzi wa Ndani ili kudhibiti na kuondoa athari za vihatarishi katika taasisi...
Read more